RADIO BEROYA FM

vendredi, septembre 20News That Matters
Shadow

Étiquette : John Awaze

RDC: Mchambuzi wa kisiasa John Awaze azungumzia jaribio ya mapinduzi didjini Kinshasa

RDC: Mchambuzi wa kisiasa John Awaze azungumzia jaribio ya mapinduzi didjini Kinshasa

Actualités, Politique, Sécurité
Akitoa maoni yake kuhusu yaliyo tukia Kinshasa Gombe, juma pili tarehe 19 mei 2024,John Awaze, mchambuzi wa siasa za Congo DRC anaye jitegemea, anaye ishi mjini Goma mashariki mwa DRC , ataja jaribio hili kama ukosefu wa akili kwa wahusika,lililo ongozwa naye Christian Malanga na kundi lake. Akijadiliana na radio Beroya FM GOMA, mchambuzi huyo, adhani kwamba viongozi wa serekali ya Congo, wanayo jukumu kubwa Siku hizi,na mojawapo ya Yale wanayo takiwa kufanya, ni kuleta Amani mashariki mwa nchi hiyo, ikiwa ndo haja ya kila mkongomani mwenye kuipenda inchi yake, Huyo hajaona upande wake umuhimu wa watu wanao jidai kuwa wa kongomani wajitokeze na kuleta vurugu, jambo hili ni lakupiga marufuku. Congo inahitaji mambo mengine sio upuuzi walio ufanya Christian Malanga na kundi lake eti ka...
RDC: Des révélations pertinentes de John Awaze sur le Coup d’État déjoué à Kinshasa

RDC: Des révélations pertinentes de John Awaze sur le Coup d’État déjoué à Kinshasa

Actualités, Politique
Faisant son analyse sur la situation de Kinshasa Gombe de dimanche 19 Mai dernier, John Awaze analyste politique indépendant résident en ville de Goma dans l'Est de la République Démocratique du Congo, qualifie cet événement d'une pratique hasardeuse de la part des membres de cette groupuscule que conduisait Christian Malanga, le chef de la bande, au cours d'un entretien qu'il a accordé à Beroya Fm ce lundi 20 Mai 2024. Cet analyste politique, croit que le moment que traverse la RDC, surtout dans sa partie orientale, caractérisé par la guerre est une période très critique, il n'est pas bon qu'un groupe d'aventuriers puisse détourner l'attention des autorités, de qui la population attend impatiemment la paix. Dans son argumentation, John Awaze regrette du fait même que certaines gens ...